Lamentations 3:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Amenichukua akanipeleka mpaka gizani kusiko na mwanga.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee gizani wala si katika nuru;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ameniongoza na kuniendesha katika giza Wala si katika nuru.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Amenichukua akanipeleka mpaka gizani kusiko na mwanga.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee gizani wala si katika nuru;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee gizani wala si katika nuru;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ameniongoza na kunipeleka katika giza Wala si katika nuru.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Amenichukua akanipeleka mpaka gizani kusiko na mwanga.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akaniongoza na kuniendesha, nije gizani, nisije mwangani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ameniongoza na kuniendesha katika giza Wala si katika nuru.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Amenikamata na kunitembeza katika giza ambako hakuna mwangaza.