Lamentations 3:36 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
kesi ya mtu inapopotoshwa mahakamani, je, Mwenyezi-Mungu haoni hayo?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kumnyima mtu haki: Je, Bwana asione mambo kama haya?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na kumnyima mtu haki yake, Hayo Bwana hayaridhii kabisa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
kesi ya mtu inapopotoshwa mahakamani, je, Mwenyezi-Mungu haoni hayo?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kumnyima mtu haki, je, Bwana asione mambo kama haya?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kumnyima mtu haki: Je, Bwana asione mambo kama haya?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na kumnyima mtu haki yake, Hayo Bwana hayaridhii kabisa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
kesi ya mtu inapopotoshwa mahakamani, je, Mwenyezi-Mungu haoni hayo?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
au mtu akimgeuza mwenziwe mkweli shaurini kuwa mwongo, Bwana asiyatazame?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kumnyima mtu haki yake, Hayo Bwana hayaridhii kabisa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
wanapomunyima mutu haki katika tribinali, basi, Yawe haoni hayo?