Lamentations 3:38 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maafa na mema hutokea tu kwa amri yake Mungu Mkuu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana ndiko yatokako maafa na mambo mema?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Katika kinywa chake Aliye juu Hayatoki maovu na mema?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maafa na mema hutokea tu kwa amri yake Mungu Mkuu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana ndiko yatokako maafa na mambo mema?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana ndiko yatokako maafa na mambo mema?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Katika kinywa chake Aliye Juu Hayatoki maovu na mema?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maafa na mema hutokea tu kwa amri yake Mungu Mkuu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Je? Yeye Alioko huko juu aliyoyasema, hayatokei yakiwa mabaya au yakiwa mema?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Katika kinywa chake Aliye juu Hayatoki maovu na mema?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maovu na mema yanatokea tu kwa amri ya Mungu Mukubwa.