Lamentations 3:47 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kitisho na hofu vimetuandama, tumepatwa na maafa na maangamizi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula, uharibifu na maangamizi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hofu imetujilia na shimo, Ukiwa na uharibifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kitisho na hofu vimetuandama, tumepatwa na maafa na maangamizi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula, uharibifu na maangamizi.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula, uharibifu na maangamizi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hofu imetujilia na shimo, Ukiwa na uharibifu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kitisho na hofu vimetuandama, tumepatwa na maafa na maangamizi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yaliyotupata yalikuwa mastuko na mashimo na maangamizo na mavunjiko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hofu imetujilia na shimo, Ukiwa na uharibifu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Woga na hofu vimetuandama tumepatwa na uharibifu na maangamizi.