Lamentations 4:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kina mama ambao huwa na huruma kuu waliwapika watoto wao wenyewe, wakawafanya kuwa chakula chao wakati watu wangu walipoangamizwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa mikono yao wenyewe wanawake wenye huruma wanapika watoto wao wenyewe, waliokuwa chakula chao watu wangu walipoangamizwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mikono ya wanawake wenye huruma Imewatokosa watoto wao wenyewe; Walikuwa ndio chakula chao Katika uharibifu wa binti ya watu wangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kina mama ambao huwa na huruma kuu waliwapika watoto wao wenyewe, wakawafanya kuwa chakula chao wakati watu wangu walipoangamizwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa mikono yao wenyewe wanawake wenye huruma walipika watoto wao wenyewe, ambao walikuwa chakula chao wakati watu wangu walipoangamizwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa mikono yao wenyewe wanawake wenye huruma wanapika watoto wao wenyewe, waliokuwa chakula chao watu wangu walipoangamizwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mikono ya wanawake wenye huruma Imewatokosa watoto wao wenyewe; Walikuwa ndio chakula chao Katika uharibifu wa binti ya watu wangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kina mama ambao huwa na huruma kuu waliwapika watoto wao wenyewe, wakawafanya kuwa chakula chao wakati watu wangu walipoangamizwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ikawa, wanawake wenye uchungu wakawatokosa wana wao wenyewe kwa mikono yao, wawe chakula chao hapo, wazaliwa wa ukoo wangu walipovunjwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mikono ya wanawake wenye huruma Imewatokosa watoto wao wenyewe; Walikuwa ndio chakula chao Katika uharibifu wa binti ya watu wangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wamama ambao wanakuwa na huruma kubwa, waliwapika watoto wao wenyewe, wakawafanya kuwa chakula chao, wakati watu wangu walipoangamizwa.