Lamentations 4:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hayo yalisababishwa na dhambi za manabii wake, yalitukia kwa sababu ya uovu wa makuhani wake ambao walimwaga damu ya waadilifu mjini kwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini hili lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake, na maovu ya makuhani wake, waliomwaga ndani yake damu ya wenye haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ni kwa sababu ya dhambi za manabii wake Na maovu ya makuhani wake, Walioimwaga damu ya wenye haki Katikati yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hayo yalisababishwa na dhambi za manabii wake, yalitukia kwa sababu ya uovu wa makuhani wake ambao walimwaga damu ya waadilifu mjini kwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini hili lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake, na maovu ya makuhani wake, ambao walimwaga pamoja naye damu ya wenye haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini hili lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake, na maovu ya makuhani wake, waliomwaga ndani yake damu ya wenye haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ni kwa sababu ya dhambi za manabii wake Na maovu ya makuhani wake, Walioimwaga damu ya wenye haki Katikati yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hayo yalisababishwa na dhambi za manabii wake, yalitukia kwa sababu ya uovu wa makuhani wake ambao walimwaga damu ya waadilifu mjini kwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hayo yamefanyika kwa ajili ya makosa ya wafumbuaji wake na kwa ajili ya maovu, watambikaji waliyoyafanya walipomwaga mwake katikati damu zao waliokuwa waongofu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ni kwa sababu ya dhambi za manabii wake Na maovu ya makuhani wake, Walioimwaga damu ya wenye haki Katikati yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni kwa sababu ya zambi za manabii wake na makosa ya makuhani wake, ambao walimwanga damu ya watu wa haki katika muji wake.