Lamentations 4:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Afadhali waliouawa kwa upanga kuliko waliokufa kwa njaa, ambao walikufa polepole kwa kukosa chakula.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale waliouawa kwa upanga ni bora kuliko wale wanaokufa njaa; wanateseka kwa njaa, wanatokomea kwa kukosa chakula kutoka shambani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Heri wale waliouawa kwa upanga Kuliko wao waliouawa kwa njaa; Maana hao husinyaa, wakichomwa Kwa kukosa matunda ya mashamba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Afadhali waliouawa kwa upanga kuliko waliokufa kwa njaa, ambao walikufa polepole kwa kukosa chakula.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale waliouawa kwa upanga ni bora kuliko wale waliokufa kwa njaa; waliteseka kwa njaa, walitokomea kwa ajili ya kukosa chakula kutoka shambani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale waliouawa kwa upanga ni bora kuliko wale wanaokufa njaa; wanateseka kwa njaa, wanatokomea kwa kukosa chakula kutoka shambani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Heri wale waliouawa kwa upanga Kuliko wao waliouawa kwa njaa; Maana hao husinyaa, wakichomwa Kwa kukosa matunda ya mashamba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Afadhali waliouawa kwa upanga kuliko waliokufa kwa njaa, ambao walikufa polepole kwa kukosa chakula.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Waliouawa kwa panga ndio waliopata mema, kuliko wao waliouawa kwa njaa; hao ndio waliozimia wakichomwa na ukosefu wa mazao ya mashamba.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Heri wale waliouawa kwa upanga Kuliko wao waliouawa kwa njaa; Maana hao husinyaa, wakichomwa Kwa kukosa matunda ya mashamba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Afazali waliouawa kwa upanga kuliko waliokufa kwa njaa, ambao walikufa polepole kwa kukosa mazao ya shamba.