Lamentations 5:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wazee wetu walitenda dhambi na hawapo tena; nasi tunateseka kwa sababu ya makosa yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baba zetu walitenda dhambi na hawapo tena, na sisi tunachukua adhabu yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Baba zetu walitenda dhambi hata hawako; Na sisi tumeyachukua maovu yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wazee wetu walitenda dhambi na hawapo tena; nasi tunateseka kwa sababu ya makosa yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baba zetu walitenda dhambi na hawapo tena, na sisi tunachukua adhabu yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baba zetu walitenda dhambi na hawapo tena, na sisi tunachukua adhabu yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Baba zetu walitenda dhambi hata hawako; Na sisi tumeyachukua maovu yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wazee wetu walitenda dhambi na hawapo tena; nasi tunateseka kwa sababu ya makosa yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Baba zetu waliokosa hawako tena, nasi tunatwikwa manza, walizozikora wao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Baba zetu walitenda dhambi hata hawako; Na sisi tumeyachukua maovu yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Babu zetu walitenda zambi na sasa hawako tena; nasi tunabeba makosa yao.