Leviticus 11:26 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu yeyote akigusa mnyama mwenye kwato zilizogawanyika lakini hacheui, mtu huyo atakuwa najisi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“ ‘Kila mnyama mwenye ukwato ulioachana lakini haukugawanyika kabisa, au yule asiyecheua, huyo ni najisi kwenu; yeyote agusaye mzoga wowote wa hao atakuwa najisi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kila mnyama aliyepasuliwa ukwato, naye hana kwato mbili, wala hacheui, huyo ni najisi kwenu; kila agusaye wanyama hao atakuwa ni najisi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu yeyote akigusa mnyama mwenye kwato zilizogawanyika lakini hacheui, mtu huyo atakuwa najisi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“ ‘Kila mnyama mwenye ukwato ulioachana lakini haukugawanyika kabisa au yule asiyecheua ni najisi kwenu; ye yote atakayegusa mzoga wo wote wa hao atakuwa najisi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“ ‘Kila mnyama mwenye ukwato ulioachana lakini haukugawanyika kabisa, au yule asiyecheua, huyo ni najisi kwenu; yeyote agusaye mzoga wowote wa hao atakuwa najisi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kila mnyama aliyepasuliwa ukwato, naye hana kwato mbili, wala hacheui, huyo ni najisi kwenu; kila agusaye wanyama hao atakuwa ni najisi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu yeyote akigusa mnyama mwenye kwato zilizogawanyika lakini hacheui, mtu huyo atakuwa najisi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kila nyama mwenye kwato zilizopasuka pasipo kutengeka kabisa nao wasiocheua ndio walio wachafu kwenu; kila atakayewagusa atakuwa mwenye uchafu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kila mnyama aliyepasuliwa ukwato, naye hana kwato mbili, wala hacheui, huyo ni najisi kwenu; kila agusaye wanyama hao atakuwa ni najisi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu yeyote akigusa nyama mwenye kwato zinazogawanyika lakini hacheui, mutu yule atakuwa muchafu.