Leviticus 11:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nyama zao hao msizile, nayo mizoga yao msiiguse! kwani wao ni mwiko kwenu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa sababu nyama hao ni wachafu, musikule nyama yao wala musiguse mizoga yao.