Leviticus 13:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Kama mtu ameshikwa na jipu, nalo limepona,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Wakati mtu ana jipu juu ya ngozi yake nalo likapona,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena mwili wa mtu utakapokuwa na jipu katika ngozi yake, nalo limepoa,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Kama mtu ameshikwa na jipu, nalo limepona,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Wakati mtu ana jipu juu ya ngozi yake nalo likapona,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Wakati mtu ana jipu juu ya ngozi yake nalo likapona,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena mwili wa mtu utakapokuwa na jipu katika ngozi yake, nalo limepoa,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Kama mtu ameshikwa na jipu, nalo limepona,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwili wa mtu ukiwa wenye jipu penye ngozi yake, nalo likipona,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena mwili wa mtu utakapokuwa na jipu katika ngozi yake, nalo limepoa,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama mutu ameshikwa na jipu, nalo limepona,