Leviticus 14:40 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
kuhani ataamuru mawe yaliyoko kwenye sehemu zenye upele yatolewe na kutupwa mahali najisi nje ya mji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ataagiza kwamba mawe yote yaliyoambukizwa yaondolewe na kutupwa katika eneo lililo najisi nje ya mji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ndipo kuhani atawaambia wayatoe hayo mawe, yaliyo na pigo, na kuyatupa mahali penye uchafu nje ya mji;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
kuhani ataamuru mawe yaliyoko kwenye sehemu zenye upele yatolewe na kutupwa mahali najisi nje ya mji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ataagiza kwamba mawe yote yaliyoambukizwa yaondolewe na kutupwa katika eneo lililo najisi nje ya mji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ataagiza kwamba mawe yote yaliyoambukizwa yaondolewe na kutupwa katika eneo lililo najisi nje ya mji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ndipo kuhani atawaambia wayatoe hayo mawe, yaliyo na pigo, na kuyatupa mahali penye uchafu nje ya mji;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
kuhani ataamuru mawe yaliyoko kwenye sehemu zenye upele yatolewe na kutupwa mahali najisi nje ya mji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
mtambikaji na aagize, wayatoe hayo mawe yaliyopatwa na huo ugonjwa mbaya, wayatupie mahali penye uchafu nje ya mji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ndipo kuhani atawaambia wayatoe hayo mawe, yaliyo na pigo, na kuyatupa mahali penye uchafu nje ya mji;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kuhani ataamuru mawe yanayokuwa kwenye sehemu zenye taka lile yaondolewe na kutupwa pahali pachafu inje ya muji.