Leviticus 14:50 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Atamchinja ndege mmoja katika chungu chenye maji safi ya chemchemi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Atamchinja mmoja wa wale ndege kwenye chungu chenye maji safi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
naye atamchinja mmojawapo wa ndege hao katika chombo cha udongo kilicho juu ya maji ya mtoni;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Atamchinja ndege mmoja katika chungu chenye maji safi ya chemchemi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Atamchinja mmoja wa wale ndege kwenye chungu chenye maji safi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Atamchinja mmoja wa wale ndege kwenye chungu chenye maji safi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
naye atamchinja mmojawapo wa ndege hao katika chombo cha udongo kilicho juu ya maji ya mtoni;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Atamchinja ndege mmoja katika chungu chenye maji safi ya chemchemi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndege mmoja na amchinje juu ya mtungi wenye maji ya mtoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
naye atamchinja mmojawapo wa ndege hao katika chombo cha udongo kilicho juu ya maji ya mtoni;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Atachinja ndege mumoja katika chungu chenye maji safi ya chemichemi.