Leviticus 17:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini asipoyafua mavazi yake na kuoga, ni lazima mtu huyo awajibike kwa uovu wake.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini kama hakufua nguo zake na kuoga, atakuwa na hatia kwa kosa hilo.’ ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini kwamba hazifui, wala haogi mwili, ndipo atakapochukua uovu wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini asipoyafua mavazi yake na kuoga, ni lazima mtu huyo awajibike kwa uovu wake.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini kama hakufua nguo zake na kuoga, atakuwa na hatia kwa kosa hilo.’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini kama hakufua nguo zake na kuoga, atakuwa na hatia kwa kosa hilo.’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini iwapo hazifui, wala haogi mwili, ndipo atakapolipizwa uovu wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini asipoyafua mavazi yake na kuoga, ni lazima mtu huyo awajibike kwa uovu wake.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini asipozifua nguo zake, wala asipouogesha mwili wake majini, atakuwa amekora manza zitakazomkalia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini kwamba hazifui, wala haogi mwili, ndipo atakapochukua uovu wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini kama hafui nguo zake na kuoga, mutu huyu atabeba lazima ya uovu wake.