Leviticus 18:22 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Kamwe usilale na mwanamume mwenzio kana kwamba ni mwanamke. Hilo ni chukizo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“ ‘Usikutane kimwili na mwanaume vile mwanaume anavyokutana kimwili na mwanamke; hilo ni chukizo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Kamwe usilale na mwanamume mwenzio kana kwamba ni mwanamke. Hilo ni chukizo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“ ‘Usikutane kimwili na mwanaume kama mtu akutanaye na mwanamke; hilo ni chukizo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“ ‘Usikutane kimwili na mwanaume kama mtu akutanaye na mwanamke; hilo ni chukizo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Kamwe usilale na mwanamume mwenzio kana kwamba ni mwanamke. Hilo ni chukizo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aliye wa kiume usilale naye, kama unavyolala na mwanamke, maana hayo ni matapisho.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Usilale na mwanaume mwenzako kama vile ni mwanamuke. Hilo ni chukizo.