Leviticus 18:24 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Msijitie najisi kwa kufanya mambo hayo kwani kwa sababu ya mambo hayo nayafukuza mataifa yaliyo mbele yenu kwa vile wao hufanya hayo na kujitia najisi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“ ‘Msijitie unajisi kwa njia yoyote katika hizi, kwa sababu hivi ndivyo mataifa nitakayoyafukuza mbele yenu yalivyojitia unajisi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Msijitie unajisi katika mambo hayo hata mojawapo; kwa maana hizo taifa nitakazozitoa mbele zenu zimekuwa najisi kwa mambo hayo yote;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Msijitie najisi kwa kufanya mambo hayo kwani kwa sababu ya mambo hayo nayafukuza mataifa yaliyo mbele yenu kwa vile wao hufanya hayo na kujitia najisi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“ ‘Msijitie unajisi kwa njia yo yote katika hizi, kwa sababu hivi ndivyo mataifa nitakayoyafukuza mbele yenu yalivyojitia unajisi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“ ‘Msijitie unajisi kwa njia yoyote katika hizi, kwa sababu hivi ndivyo mataifa nitakayoyafukuza mbele yenu yalivyojitia unajisi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Msijitie unajisi katika hata mojawapo ya mambo hayo; kwa maana hayo mataifa nitakayoyatoa mbele zenu yamekuwa najisi kwa mambo hayo yote;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Msijitie najisi kwa kufanya mambo hayo kwani kwa sababu ya mambo hayo nayafukuza mataifa yaliyo mbele yenu kwa vile wao hufanya hayo na kujitia najisi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Usijichafue kwa mambo hayo yote! Kwani kwa kuyafanya hayo yote walijichafua wamizimu wote, nitakaowafukuza mbele yenu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Msijitie unajisi katika mambo hayo hata mojawapo; kwa maana hizo taifa nitakazozitoa mbele zenu zimekuwa najisi kwa mambo hayo yote;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Musijichafue kwa kufanya mambo hayo maana kwa sababu ya mambo hayo ninafukuza mataifa yanayokuwa mbele yenu kwa vile wao wanafanya hayo na kujichafua.