Leviticus 19:35 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Usikose kamwe kuamua kwa haki kuhusu vipimo vya urefu, uzito na ujazo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“ ‘Usitumie vipimo vya udanganyifu unapopima urefu, kupima uzito, wala kupima wingi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Msifanye yasiyo haki katika hukumu, wala katika kupima, wala katika mizani, wala katika cheo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Usikose kamwe kuamua kwa haki kuhusu vipimo vya urefu, uzito na ujazo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“ ‘Usitumie vipimo vya udanganyifu unapopima urefu, kupima uzito, wala kupima wingi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“ ‘Usitumie vipimo vya udanganyifu unapopima urefu, kupima uzito, wala kupima wingi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Msifanye yasiyo haki katika hukumu, wala katika kupima, wala katika mizani, wala katika cheo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Usikose kamwe kuamua kwa haki kuhusu vipimo vya urefu, uzito na ujazo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Msifanye mapotovu wala mashaurini wala kwa kutumia vipimo vya kudanganya kama mizani au vibaba.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Msifanye yasiyo haki katika hukumu, wala katika kupima, wala katika mizani, wala katika cheo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Usikose kuamua kwa haki juu ya vipimo vya urefu, uzito na ujazo.