Leviticus 2:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Utaitia mafuta na kuweka ubani; hiyo ni sadaka ya nafaka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Weka mafuta na uvumba juu yake; ni sadaka ya nafaka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nawe utatia mafuta juu yake, na kuweka ubani juu yake; ni sadaka ya unga.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Utaitia mafuta na kuweka ubani; hiyo ni sadaka ya nafaka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Weka mafuta na uvumba juu yake; ni sadaka ya nafaka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Weka mafuta na uvumba juu yake; ni sadaka ya nafaka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nawe utatia mafuta juu yake, na kuweka ubani juu yake; ni sadaka ya unga.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Utaitia mafuta na kuweka ubani; hiyo ni sadaka ya nafaka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Utayatia hata mafuta, kisha utaweka uvumba juu yao; ndivyo, yatakavyokuwa vilaji vya tambiko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nawe utatia mafuta juu yake, na kuweka ubani juu yake; ni sadaka ya unga.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utaitia mafuta na kuweka ubani. Hiyo ni sadaka ya ngano.