Leviticus 2:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mikate hiyo itakatwakatwa na kumiminiwa mafuta; hiyo ni sadaka ya nafaka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Vunjavunja na kumimina mafuta juu yake; hii ni sadaka ya nafaka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Utaukata-kata vipande, na kutia mafuta juu yake; ni sadaka ya unga.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mikate hiyo itakatwakatwa na kumiminiwa mafuta; hiyo ni sadaka ya nafaka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ukande na kumimina mafuta juu yake; hii ni sadaka ya nafaka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ukande na kumimina mafuta juu yake; hii ni sadaka ya nafaka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Utaukatakata vipande, na kutia mafuta juu yake; ni sadaka ya unga.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mikate hiyo itakatwakatwa na kumiminiwa mafuta; hiyo ni sadaka ya nafaka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
nawe uyakatekate vipande, kisha uvimiminie mafuta; ndivyo, vitakavyokuwa vilaji vya tambiko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Utaukata-kata vipande, na kutia mafuta juu yake; ni sadaka ya unga.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mikate hiyo itakatwakatwa na kumiminiwa mafuta. Hiyo ni sadaka ya ngano.