Leviticus 21:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
mwenye kibyongo, mtu mfupi kuliko kawaida, mwenye macho mabovu au ugonjwa wa ngozi, mwenye upele au towashi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
au mwenye kibiongo au aliyedumaa, au aliye na tatizo la macho, au aliye na uvimbe wenye usaha au majipu, au aliyehasiwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
au aliye na kijongo, au aliye kibeti, au aliye na kilema cha jichoni, au aliye na upele, au mwenye buba, au aliyevunjika mapumbu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
mwenye kibyongo, mtu mfupi kuliko kawaida, mwenye macho mabovu au ugonjwa wa ngozi, mwenye upele au towashi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
au mwenye kibiongo au aliyedumaa, au aliye na tatizo la macho, au aliye na uvimbe wenye usaha au majipu, au aliyehasiwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
au mwenye kibiongo au aliyedumaa, au aliye na tatizo la macho, au aliye na uvimbe wenye usaha au majipu, au aliyehasiwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
au aliye na kibyongo, au aliyedumaa, au aliye na kilema cha jichoni, au aliye na upele, au mwenye uvimbe, au aliyevunjika mapumbu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
mwenye kibyongo, mtu mfupi kuliko kawaida, mwenye macho mabovu au ugonjwa wa ngozi, mwenye upele au towashi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
au kama ni mwenye nundu au mwenye kifua kikuu au mwenye chongo au mwenye upele mbaya au mwenye buba au mwenye mapumbu yaliyovunjika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
au aliye na kijongo, au aliye kibeti, au aliye na kilema cha jichoni, au aliye na upele, au mwenye buba, au aliyevunjika mapumbu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
mwenye kigongo, mutu mufupi kuliko kawaida, asiyeona sawasawa, mwenye kivimba, mwenye upele au mutu anayekuwa towashi, asikaribie kumutolea Mungu mukate wake.