Leviticus 24:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu yeyote anayeua mtu mwingine ni lazima naye auawe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“ ‘Kama mtu yeyote atamuua mtu mwingine, ni lazima auawe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na mtu ampigaye mtu hata akafa, lazima atauawa;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu yeyote anayeua mtu mwingine ni lazima naye auawe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“ ‘Kama mtu ye yote atamwua mtu mwingine, ni lazima auawe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“ ‘Kama mtu yeyote atamuua mtu mwingine, ni lazima auawe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na mtu ampigaye mtu hadi akafa, lazima atauawa;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu yeyote anayeua mtu mwingine ni lazima naye auawe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu akimpiga mwenzake, afe, sharti auawe naye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na mtu ampigaye mtu hata akafa, lazima atauawa;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu yeyote anayeua mutu mwingine anapaswa naye kuuawa.