Leviticus 24:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu yeyote anayeua mnyama ni lazima atoe fidia: Uhai kwa uhai.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu yeyote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na atakayempiga mnyama hata akafa atalipa; uhai kwa uhai.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu yeyote anayeua mnyama ni lazima atoe fidia: uhai kwa uhai.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu ye yote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu yeyote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na atakayempiga mnyama hadi akafa atalipa; uhai kwa uhai.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu yeyote anayeua mnyama ni lazima atoe fidia: Uhai kwa uhai.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini akipiga nyama, naye akifa, sharti amlipe, nyama aliye mzima kwa yule aliyekufa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na atakayempiga mnyama hata akafa atalipa; uhai kwa uhai.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu yeyote anayeua nyama wa mwenzake anapaswa kutoa malipo: uzima kwa uzima.