Leviticus 24:21 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anayemuua mnyama ni lazima atoe fidia; lakini mtu yeyote akimuua mtu mwingine ni lazima naye auawe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeyote auaye mnyama wa mtu lazima alipe fidia, lakini yeyote auaye mtu, lazima auawe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na mtu amwuaye mnyama atalipa; na yeye atakayemwua binadamu atauawa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anayemuua mnyama ni lazima atoe fidia; lakini mtu yeyote akimuua mtu mwingine ni lazima naye auawe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ye yote auaye mnyama wa mtu lazima alipe fidia, lakini ye yote auaye mtu, lazima auawe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeyote auaye mnyama wa mtu lazima alipe fidia, lakini yeyote auaye mtu, lazima auawe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na mtu amwuaye mnyama atalipa; na yeye atakayemwua binadamu atauawa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anayemuua mnyama ni lazima atoe fidia; lakini mtu yeyote akimuua mtu mwingine ni lazima naye auawe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ni hivi: mtu atakayempiga nyama, naye akifa, sharti amlipe; lakini mtu atakayempiga mwenziwe, naye akifa, sharti auawe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na mtu amwuaye mnyama atalipa; na yeye atakayemwua binadamu atauawa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayemwua nyama anapaswa kutoa malipo, lakini mutu yeyote akimwua mutu mwingine anapaswa naye auawe.