Leviticus 6:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwenyezi Mungu akamwambia Musa:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bwana akanena na Musa na kumwambia,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
BWANA akamwambia Mose:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
bwana akamwambia Musa:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
BWANA akanena na Musa na kumwambia,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Bwana akamwambia Mose:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
BWANA akanena na Musa na kumwambia,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mumoja wa makuhani atatwaa mukono mumoja wa unga wa sadaka ya vyakula pamoja na mafuta na ubani wote na kuviteketeza juu ya mazabahu kama vile sehemu ya ukumbusho. Harufu yake itamupendeza Yawe.