Leviticus 7:31 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kuhani atayateketeza mafuta yote juu ya madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha Aroni na wanawe makuhani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kuhani atayateketeza hayo mafuta juu ya madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha Haruni na wanawe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kuhani atayateketeza hayo mafuta juu ya madhabahu; lakini hicho kidari kitakuwa cha Haruni na cha wanawe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kuhani atayateketeza mafuta yote juu ya madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha Aroni na wanawe makuhani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kuhani atayateketeza hayo mafuta juu ya madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha Aroni na wanawe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kuhani atayateketeza hayo mafuta juu ya madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha Haruni na wanawe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kuhani atayateketeza hayo mafuta juu ya madhabahu; lakini hicho kidari kitakuwa cha Haruni na wanawe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kuhani atayateketeza mafuta yote juu ya madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha Aroni na wanawe makuhani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha mtambikaji na ayachome moto yale mafuta mezani pa kutambikia, lakini kidari kitakuwa chao Haroni na wanawe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kuhani atayateketeza hayo mafuta juu ya madhabahu; lakini hicho kidari kitakuwa cha Haruni na cha wanawe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuhani atateketeza mafuta yote juu ya mazabahu, lakini kilali kitakuwa cha Haruni na wana wake makuhani.