Luke 1:10 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu, umati mkubwa, walikuwa wamekusanyika nje wanasali wakati huo wa kufukiza ubani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nao wakati wa kufukiza uvumba ulipowadia, wale wote waliokuwa wamekusanyika ili kuabudu walikuwa nje wakiomba.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na makutano yote ya watu walikuwa wakisali nje saa ya kufukiza uvumba.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wakati wa kufukiza uvumba ulipofika watu wote walikusanyika nje ya Hekalu wakiomba.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Watu, umati mkubwa, walikuwa wamekusanyika nje wanasali wakati huo wa kufukiza ubani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu, umati mkubwa, walikuwa wamekusanyika nje wanasali wakati huo wa kufukiza ubani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nao wakati wa kufukiza uvumba ulipowadia, wale wote waliokuwa wamekusanyika ili kuabudu walikuwa nje wakiomba.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nao wakati wa kufukiza uvumba ulipowadia, wale wote waliokuwa wamekusanyika ili kuabudu walikuwa nje wakiomba.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na makutano yote ya watu walikuwa wakisali nje saa ya kufukiza uvumba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu, umati mkubwa, walikuwa wamekusanyika nje wanasali wakati huo wa kufukiza ubani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nalo kundi lote la watu wengi lilikuwa nje, wakiombea saa ileile ya kuvukiza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na makutano yote ya watu walikuwa wakisali nje saa ya kufukiza uvumba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kundi kubwa la watu walikuwa inje wakiomba saa ile Zakaria alipokuwa akichoma ubani.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na mkutano wote wa watu walikuwa wakisali nje, saa ya kufukiza.