Luke 1:30 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo malaika akamwambia, “Usiogope, Mariamu; umepata kibali kwa Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Malaika akamwambia, “Usiogope Mariamu, kwa kuwa neema ya Mungu iko juu yako.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo malaika akamwambia, “Usiogope, Maria, umepata kibali kwa Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo malaika akamwambia, “Usiogope, Mariamu, umepata kibali kwa Mwenyezi Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
malaika akamwambia: Usiogope, Maria! Kwani umepata gawio jema kwa Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu malaika akamwambia: “Maria, usiogope, kwa maana Mungu amekujalia neema.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu; kwa maana umepata neema kwa Mungu.