Luke 1:33 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Naye ataitawala nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
atautawala mlango wa Yakobo kale na kale, ufalme wake usiwe na mwisho.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yeye atatawala taifa la Israeli hata milele, nao ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ataimiliki nyumba ya Yakobo hatta milele; wala ufalme wake hautakuwa na mwisho.