Luke 1:37 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana kwa Mungu hakuna lisilowezekana.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mungu anaweza kufanya jambo lolote!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana kwa Mungu hakuna lisilowezekana.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana kwa Mwenyezi Mungu hakuna lisilowezekana.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwani hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana hakuna kisichowezekana kwa Mungu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa maana hapana neno lisilowezekana kwa Mungu.