Luke 1:61 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakamwambia, “Mbona hakuna yeyote katika ukoo wake mwenye jina hilo?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakamwambia, “Hakuna mtu yeyote katika jamaa yako mwenye jina kama hilo.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakamwambia, Hapana mtu katika jamaa zako aitwaye jina hilo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini wao wakamwambia, “Hakuna jamaa yako hata mmoja mwenye jina hilo.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakamwambia, “Mbona hakuna yeyote katika ukoo wake mwenye jina hilo?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakamwambia, “Mbona hakuna yeyote katika ukoo wake mwenye jina hilo?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakamwambia, “Hakuna mtu ye yote katika jamaa yako mwenye jina kama hilo.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakamwambia, “Hakuna mtu yeyote katika jamaa yako mwenye jina kama hilo.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakamwambia, Hapana mtu katika jamaa zako aitwaye jina hilo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakamwambia, “Mbona hakuna yeyote katika ukoo wake mwenye jina hilo?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakamwambia: Hakuna mtu katika ndugu zako aitwaye jina hili.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakamwambia, Hapana mtu katika jamaa zako aitwaye jina hilo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakamwambia: “Mbona hakuna mutu katika jamaa yako anayeitwa kwa jina hili?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakamwambia, Hapana mtu katika jamaa zako aitwae jina hilo.