Luke 1:68 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Atukuzwe Bwana Mungu wa Israeli, kwani amewajia na kuwakomboa watu wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amewajilia watu wake na kuwakomboa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, Kwa kuwa amewajia watu wake, na kuwakomboa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
“Asifiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amekuja kuwasaidia watu wake na kuwaweka huru.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Asifiwe Bwana Mungu wa Israeli, kwani amekuja kuwasaidia na kuwakomboa watu wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Atukuzwe Bwana Mungu wa Israeli, kwani amewajia na kuwakomboa watu wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amewajilia watu wake na kuwakomboa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amewajilia watu wake na kuwakomboa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, Kwa kuwa amewajia watu wake, na kuwakomboa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Atukuzwe Bwana Mungu wa Israeli, kwani amewajia na kuwakomboa watu wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Atukuzwe Bwana Mungu wa Isiraeli! kwani amewakagua wao wa ukoo wake na kuwapatia ukombozi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, Kwa kuwa amewajia watu wake, na kuwakomboa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Asifiwe Bwana, Mungu wa Waisraeli, maana amewasaidia watu wake na kuwakomboa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli; Kwa kuwa amewajia watu wake na kuwakomboa.