Luke 10:18 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama radi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kama mwanga wa radi kutoka mbinguni!
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama umeme wa radi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama umeme wa radi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, alipowaambia: Nalimwona Satani, akianguka kama umeme toka mbinguni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye Yesu akamwambia: “Nilimwona Shetani akianguka kama umeme toka mbinguni.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaambia, Nalimwona Shetani kama umeme akianguka toka mbinguni.