Luke 10:5 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: ‘Amani iwe katika nyumba hii!’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na nyumba yo yote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kabla ya kuingia katika nyumba, mseme, ‘Amani iwemo katika nyumba hii.’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: Amani iwe katika nyumba hii!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: ‘Amani iwe katika nyumba hii!’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mkiingia katika nyumba yo yote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na nyumba yoyote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: ‘Amani iwe katika nyumba hii!’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini nyumbani mo mote, mtakamoingia, kwanza semine: Nyumba hii itengemane!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na nyumba yo yote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na katika nyumba yoyote mutakapoingia, mutoe kwanza salamu mukisema: ‘Amani ikuwe katika nyumba hii!’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na nyumba yo yote mwingiayo, kwanza neneni, Amani iwe nyumbani humu.