Luke 10:8 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni chochote kiwekwacho mbele yenu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na mji wo wote mtakaouingia, wakiwakaribisha, vileni vyakula viwekwavyo mbele yenu;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mkiingia katika mji wowote na watu wakawakaribisha, kuleni vyakula watakavyowapa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni cho chote kiwekwacho mbele yenu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni chochote kiwekwacho mbele yenu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na mji wowote mtakaouingia, wakiwakaribisha, vileni vyakula viwekwavyo mbele yenu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Namo mjini mo mote, mtakamoingia, nao wakiwapokea, vileni, mnavyoandaliwa!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na mji wo wote mtakaouingia, wakiwakaribisha, vileni vyakula viwekwavyo mbele yenu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na katika muji wowote mutakamoingia, watu wakiwakaribisha, mukule na kunywa kile watakachowapa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Msihame nyumba kwa nyumba. Na mji wo wote mtakaouingia, wakiwakaribisheni, vileni vitu vile viwekwavyo mbele yenu.