Luke 10:9 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
waponyeni wagonjwa waliomo na waambieni: ‘Ufalme wa Mungu umewakaribia.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
waponyeni wagonjwa waliomo, waambieni, Ufalme wa Mungu umewakaribia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Waponyeni wagonjwa wanaoishi katika mji huo, na waambieni Ufalme wa Mungu umewafikia!
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
waponyeni wagonjwa waliomo na waambieni: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
waponyeni wagonjwa waliomo na waambieni: ‘Ufalme wa Mwenyezi Mungu umekaribia.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
waponyeni wagonjwa waliomo, waambieni, Ufalme wa Mungu umewakaribia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Waponyeni wagonjwa waliomo nakuwaambia: Ufalme wa Mungu umewakaribia!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
waponyeni wagonjwa waliomo, waambieni, Ufalme wa Mungu umewakaribia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Muponyeshe wagonjwa wanaokuwa mule na kuwaambia wakaaji: ‘Ufalme wa Mungu umewakaribia ninyi.’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Waponyeni wagonjwa waliomo, waambieni ya kama, Ufalme wa Mungu umewakaribieni.