Luke 11:10 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye mlango hufunguliwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ndiyo, kila atakayeendelea kuomba atapokea. Kila atakayeendelea kutafuta atapata. Na kila atakayeendelea kubisha mlangoni, mlango utafunguliwa kwa ajili yake.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye hufunguliwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye mlango hufunguliwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa kila aombaye hupewa, naye kila atafutaye hupata na kila abishaye hufunguliwa mlango.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye mlango hufunguliwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kila anayeomba hupewa, naye anayetafuta huona, naye anayepiga hodi hufunguliwa mlango.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana kila mutu anayeomba anapewa; anayetafuta anapata, anayepiga hodi anafunguliwa mulango.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa sababu killa aombae hupewa: nae atafutae hupata: nae abishae hufunguliwa.