Luke 11:28 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Yesu akasema, “Wamebarikiwa zaidi wanaosikia na kuyatii mafundisho ya Mungu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye akasema: Kweli wenye shangwe ndio wanaolisikia Neno la Mungu na kulishika.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yesu akajibu: “Heri zaidi wale wanaosikia neno la Mungu na kulitii!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini yeye akasema, Bali afadhali wa kheri wenye kulisikia neno la Mungu na kulishika.