Luke 11:38 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa kwanza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yule Farisayo akashangaa kwamba Isa hakunawa kwanza kabla ya kula.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Farisayo huyo alipomwona, alistaajabu kwa sababu hakunawa kabla ya chakula.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Farisayo alishangaa alipoona Yesu hakunawa mikono yake kwanza kabla ya kuanza kula.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa kwanza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yule Farisayo akashangaa kwamba Yesu hakunawa kwanza kabla ya kula.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yule Farisayo akashangaa kwamba Isa hakunawa kwanza kabla ya kula.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Farisayo huyo alipomwona, alistaajabu kwa sababu hakunawa kabla ya chakula.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa kwanza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Fariseo huyo alipoviona akastaajabu, ya kuwa hakunawa kwanza kabla ya kula.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Farisayo huyo alipomwona, alistaajabu kwa sababu hakunawa kabla ya chakula.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufarisayo yule akashangaa alipoona kwamba Yesu hakunawa mikono mbele ya kula.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yule Farisayo alipoona akastaajabu kwa sababu hakunawa kabla ya chakula.