Luke 12:32 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni ufalme.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vyema kuwapa ninyi ufalme.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Msiogope, enyi kundi dogo. Kwa kuwa imempendeza Baba yenu kuwapa ninyi ufalme wake.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni Ufalme.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni ufalme.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vyema kuwapa ninyi Ufalme.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vyema kuwapa ninyi Ufalme.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni ufalme.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Msiogope, mlio kikundi kidogo! Kwani baba yenu imempendeza kuwapa ninyi huo ufalme.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Musiogope ninyi kundi dogo! Kwa kuwa Baba yenu amependelea kuwapa ninyi ule Ufalme wake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Msiogope, enyi kundi dogo, kwa kuwa Baba yenu ameona vyema kuwapeni ufalme.