Luke 12:55 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mnapoona upepo wa kusi unavuma, mwasema ‘Kutakuwa na joto,’ na ndivyo inavyokuwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nanyi mwonapo upepo wa kusini ukivuma, ninyi husema, ‘Kutakuwa na joto,’ na huwa hivyo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na kila ivumapo kaskazi, husema, Kutakuwa na joto; na ndivyo ilivyo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mnapoona upepo unaanza kuvuma kutoka kusini mnasema, ‘Kutakuwa joto,’ na huwa hivyo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mnapoona upepo wa kusi unavuma, mwasema Kutakuwa na hali ya joto na ndivyo inavyokuwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mnapoona upepo wa kusi unavuma, mwasema ‘Kutakuwa na joto,’ na ndivyo inavyokuwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nanyi mwonapo upepo wa kusini ukivuma, ninyi husema, ‘Kutakuwa na joto,’ na huwa hivyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nanyi mwonapo upepo wa kusini ukivuma, ninyi husema, ‘Kutakuwa na joto,’ na huwa hivyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na kila ivumapo kaskazi, husema, Kutakuwa na joto; na ndivyo ilivyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mnapoona upepo wa kusi unavuma, mwasema ‘Kutakuwa na joto,’ na ndivyo inavyokuwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena mnaposikia upepo unaovuma kusini mnasema: Litakuwa jua kali; nalo linakuwapo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kila ivumapo kaskazi, husema, Kutakuwa na joto; na ndivyo ilivyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na wakati munapoona upepo ukivuma toka upande wa kusini, munasema kwamba jua litakuwa kali, na ni vile inavyokuwa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na killa ivumapo kaskazi mwasema, Itakuwa joto; ikawa.