Luke 12:57 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kwa nini hamwamui wenyewe lililo haki?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na mbona ninyi wenyewe kwa nafsi zenu hamwamui yaliyo haki?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa nini ninyi wenyewe hamwezi kujiamulia ninyi wenyewe kilicho haki?
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kwa nini hamwamui wenyewe lililo haki?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kwa nini hamwamui wenyewe lililo haki?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na mbona ninyi wenyewe kwa nafsi zenu hamwamui yaliyo haki?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena ninyi wenyewe, mbona hamfuati uamuzi wenye wongofu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na mbona ninyi wenyewe kwa nafsi zenu hamwamui yaliyo haki?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Sababu gani ninyi wenyewe hamuwezi kujiamulia jambo la haki?
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na mbona ninyi katika nafsi zenu hamwamui yaliyo haki?