Luke 12:9 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini, mtu yeyote anayenikana mbele ya watu, naye atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini yeye atakayenikana mimi mbele ya watu, Mwana wa Adamu naye atamkana mbele ya malaika wa Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na mwenye kunikana mbele ya watu, huyo atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na atakayenikataa mimi mbele za watu, nami nitamkataa mbele za Mungu na malaika.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini, mtu yeyote anayenikana mbele ya watu, naye atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini, mtu yeyote anayenikana mbele ya watu, naye atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini yeye atakayenikana mbele ya watu, Mwana wa Adamu naye atamkana mbele ya malaika wa Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini yeye atakayenikana mimi mbele ya watu, Mwana wa Adamu naye atamkana mbele ya malaika wa Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na mwenye kunikana mbele ya watu, huyo atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini, mtu yeyote anayenikana mbele ya watu, naye atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini atakayenikana mbele ya watu atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na mwenye kunikana mbele ya watu, huyo atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mutu yeyote anayenikana mbele ya watu, yule atakanwa mbele ya wamalaika wa Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nae aliyenikana mbele ya watu, atakanwa mbele za malaika wa Mungu.