Luke 13:10 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu alikuwa akifundisha katika sunagogi moja siku ya Sabato.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi Isa alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo siku ya Sabato.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Siku ya sabato alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alikuwa akifundisha katika sinagogi moja siku ya Sabato.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu alikuwa akifundisha katika sunagogi moja siku ya Sabato.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu alikuwa akifundisha katika sunagogi moja siku ya Sabato.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi Yesu alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo siku ya Sabato.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi Isa alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo siku ya Sabato.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Siku ya sabato alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu alikuwa akifundisha katika sunagogi moja siku ya Sabato.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawa akifundisha siku ya mapumziko katika nyumba moja ya kuombea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Siku ya sabato alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Siku moja ya Sabato, Yesu alikuwa akifundisha katika nyumba ya kuabudia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawa akifundisha katika sunagogi mojawapo siku ya sabato.