Luke 13:12 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umeponywa ugonjwa wako.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa alipomwona, akamwita, akamwambia, “Mwanamke, uwe huru, umepona ugonjwa wako.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu alipomwona alimwita, akamwambia, Mama, umefunguliwa katika udhaifu wako.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alipomwona alimwita na kumwambia, “Mama, umefunguliwa kutoka katika ugonjwa wako!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umeponywa ugonjwa wako.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umeponywa ugonjwa wako.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu alipomwona, akamwita akamwambia, “Mwanamke, uwe huru, umepona ugonjwa wako.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa alipomwona, akamwita, akamwambia, “Mwanamke, uwe huru, umepona ugonjwa wako.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu alipomwona alimwita, akamwambia, Mama, umefunguliwa katika udhaifu wako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umeponywa ugonjwa wako.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu alipomwona akamwita, akamwambia: Mama, umefunguliwa huu unyonge wako;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu alipomwona alimwita, akamwambia, Mama, umefunguliwa katika udhaifu wako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu alipomwona yule mwanamuke, akamwita, akamwambia: “Ewe mama, ugonjwa wako umepona.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi Yesu alipomwona, akamwita, akamwambia, Ee mwanamke, umefunguliwa udhaifu wako.