Luke 13:23 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mmoja akamuuliza, “Bwana Isa, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Isa akawaambia,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mtu mmoja akamwuliza, “Bwana, watu wangapi wataokolewa? Ni wachache?” Yesu akajibu,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mmoja akamwuliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mmoja akamuuliza, “Bwana Isa, ni watu wachache tu watakaookolewa?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu alipomwuliza: Bwana, watu watakaookoka ni wachache tu? akamwambia:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu mumoja akamwuliza: “Bwana, ni watu wachache tu ndio watakaookolewa?” Halafu Yesu akawaambia:
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mtu mmoja akamwambia, Bwana, wao wanaookolewa ni wachaehe?