Luke 13:5 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nawaambieni sivyo; lakini nanyi msipotubu, mtaangamia kama wao.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nawaambia, la hasha! Ninyi nanyi msipotubu, wote mtaangamia vivyo hivyo.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hawakuwa hivyo. Lakini ninawaambia, ikiwa hamtaamua kubadilika sasa, hata ninyi mtaangamizwa pia!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nawaambieni sivyo; lakini nanyi msipotubu, mtaangamia kama wao.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nawaambieni sivyo; lakini nanyi msipotubu, mtaangamia kama wao.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nawaambia, la hasha! Ninyi nanyi msipotubu, wote mtaangamia vivyo hivyo.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nawaambia, la hasha! Ninyi nanyi msipotubu, wote mtaangamia vivyo hivyo.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nawaambieni sivyo; lakini nanyi msipotubu, mtaangamia kama wao.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nawaambiani: Sivyo, ila msipojuta nyote mtaangamia vivyo hivyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hakika si vile: lakini musipogeuka toka zambi zenu, ninyi wote mutaangamia kama wao.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nawaanibieni, Sivyo: lakini msipotubu, nyote mtaangamia vivyo hivyo.