Luke 14:11 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa maana yeyote anayejikweza atashushwa na anayejishusha, atakwezwa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana kila mtu ajikwezaye atashushwa, naye ajishushaye atakwezwa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kila ajikwezaye atashushwa. Lakini ajishushaye atakwezwa.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa maana yeyote anayejikweza atashushwa, na anayejishusha, atakwezwa.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa maana yeyote anayejikweza atashushwa na anayejishusha, atakwezwa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana kila mtu ajikwezaye atashushwa, naye ajishushaye atakwezwa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana kila mtu ajikwezaye atashushwa, naye ajishushaye atakwezwa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa maana yeyote anayejikweza atashushwa na anayejishusha, atakwezwa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kila anayejikweza mwenyewe atanyenyekezwa, naye anayejinyenyekeza mwenyewe atakwezwa.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana kila mutu anayejiinua atashushwa, lakini anayejishusha atainuliwa.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana killa ajikwezae atadhilika; nae ajidhiliye atakwezwa.