Luke 14:16 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akawaalika watu wengi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anaandaa karamu kubwa, akaalika watu wengi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akamwambia, Mtu mmoja alifanya karamu kubwa akaalika watu wengi,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akamwambia, “Mtu mmoja aliandaa sherehe kubwa, na kuwaalika watu wengi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akaalika watu wengi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akawaalika watu wengi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anaandaa karamu kubwa, akaalika watu wengi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anaandaa karamu kubwa, akaalika watu wengi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akamwambia, Mtu mmoja alifanya karamu kubwa akaalika watu wengi,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akawaalika watu wengi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Naye akamwambia: Kulikuwa na mtu aliyetengeneza karamu kubwa, akaalika wengi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akamwambia, Mtu mmoja alifanya karamu kubwa akaalika watu wengi,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu Yesu akawaambia mufano huu: “Mutu mumoja alifanya karamu kubwa, na kualika watu wengi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akamwambia, Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akaalika watu wengi,