Luke 14:2 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mbele yake Yesu palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na ugonjwa wa kuvimba mwili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hapo mbele yake palikuwa na mtu mmoja mwenye ugonjwa wa kuvimba mwili.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na tazama, mbele yake palikuwa na mtu mwenye ugonjwa wa safura.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mbele yake kulikuwa na mtu aliyekuwa na ugonjwa mbaya.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mbele yake Yesu palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na ugonjwa wa kuvimba mwili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mbele yake Yesu palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na ugonjwa wa kuvimba mwili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Papo hapo mbele yake palikuwa na mtu mmoja mwenye ugonjwa wa kuvimba mwili.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Papo hapo mbele yake palikuwa na mtu mmoja mwenye ugonjwa wa kuvimba mwili.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na tazama, mbele yake palikuwa na mtu mwenye ugonjwa wa safura.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mbele yake Yesu palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na ugonjwa wa kuvimba mwili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mbele yake mkawamo mtu mwenye ugonjwa wa safura.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na tazama, mbele yake palikuwa na mtu mwenye ugonjwa wa safura.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na mbele ya Yesu kulikuwa mutu mumoja aliyekuwa na ugonjwa wa kuvimba tumbo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi mbele yake palikuwa mtu hawezi safura.