Luke 14:20 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na mwingine akasema: ‘Nimeoa kwa hiyo siwezi kuja.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Naye mwingine akasema, ‘Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwingine akasema, Nimeoa mke, na kwa sababu hiyo siwezi kuja.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na mtu wa tatu alisema, ‘Nimeoa mke, kwa sababu hiyo siwezi kuja.’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Na mwingine akasema: Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na mwingine akasema: ‘Nimeoa kwa hiyo siwezi kuja.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye mwingine akasema, ‘Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye mwingine akasema, ‘Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwingine akasema, Nimeoa mke, na kwa sababu hiyo siwezi kuja.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na mwingine akasema: ‘Nimeoa kwa hiyo siwezi kuja.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwingine akasema: Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwingine akasema, Nimeoa mke, na kwa sababu hiyo siwezi kuja.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na mwingine akamwambia: ‘Mimi ninatoka kuoa siku hizi, na kwa sababu hii siwezi kuja.’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mwingine akasema, Nimeoa mke, na kwa sababu hii siwezi kuja.